Tuesday, October 20, 2015


Baooo!2-0Ozil akishangilia bao lake la dakika za majeruhi!Balaa!Olivier Giroud dakika ya 77 aliipatia Arsenal bao na kufanya 1-0 dhidi ya Bayern Munich. Dakika ya 90 kwenye muda wa lala salama  Arsenal waliongeza kasi na kuweza kupata bao na mtanange kumalizika 2-0, Bao likifungwa na Mesut Ozil.Alama tatu muhimu!Petr Cech akiokoa langoni mwakeTheo Walcott akijishangaa Kipa wa Bayern Munich Neuer akiokoa shuti langoni mwake katika kipindi cha kwanza kilichomalizika 0-0 dhidi ya Arsenal. 
Kipindi cha pili dakika ya 55 Ramsey aliumia na nafasi yake imechukuliwa na Alex Oxlade-Chamberlain

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog