Tuesday, October 20, 2015



Ivan Rakitic akipongezana na  Jordi Alba baada ya kuichapa  BATE Borisov kipindi cha pili

Mlinda mlango  Sergei Chernik akifanyiwa mbaya na Rakitic
Luis Suarez akifanya yake kwa wachezaji wa BATE
Mchezaji wa BATE Borisov Maksim Volodko akimkaba kwa nyuma  Sergi Roberto leo jumanne usiku
Volodko na  Javier Mascherano wakipambana kwenye  Champions League
 Neymar akichuana na  Vitali Gayduchik wa BATE

Rakitic na  Nemanja Nikolic

Mchezaji wa Barca Munir El Haddadi akimiliki mpira

Suarez akigombea mpira wa kichwa

Ivan Rakitic dakika ya 64 alipachika tena bao na Barca kuongoza kwa bao 2-0 dhidi ya Bate.Nemanja Nikolic akichana na Ivan Rakitic wa Barca mapema kipindi cha kwanza abacho kilimalizika 0-0. 
Kipindi cha pili dakika ya 48 Ivan Rakitic aliwapatia bao la kuongoza Barca kwa kufanya 1-0 baada ya kupata ushirikiano safi  kutoka kwa Neymar

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog