Tuesday, October 20, 2015


Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini amesema bado ana moyo wa kutaka kumrithi Sepp Blatter kama Rais wa shirikisho la Kandanda duniani FIFA, licha ya kupigwa marufuku ya siku 90 ili kupisha uchunguzi wa madai ya ufisadi dhidi unaoendelea dhidi yake. Platini, mpaka sasa anatumikia adhabu baada ya kupokea Pauni za Uingereza milioni 1.35 kutoka kwa Blatter mwaka 2011. 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog