Thursday, October 15, 2015


KEPTENI wa Manchester United Wayne Rooney anatarajiwa kuwa fiti kwa Mechi ya Jumamosi ya Ligi Kuu England huko Goodison Park dhidi ya Klabu yake ya zamani Everton.
Rooney aliumia Enka Wiki iliyopita akiwa Mazoezini na Timu ya England ambayo yeye pia ndio Nahodha na kuzikosa Mechi zake mbili za kumalizia Kundi E la EURO 2016 dhidi ya Estonia na Lithuania.
Baada ya Mechi hiii ya Jumamosi, Man United watapaa kwenda Moscow, Urusi kucheza na CSKA Moscow katika Mechi ya Kundi B la UEFA CHAMPIONS LIGI hapo Jumatano na kufuatia na mtanange wa Dabi ya Jiji la Manchester dhidi ya Man City Jumapili Uwanjani Old Trafford kwenye Mechi ya Ligi Kuu England
Wayne Rooney

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog