Monday, September 28, 2015



Uendondo Nkone (katika) akiimba moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano na waandashi wa habari kuhusu kuadhimishi miaka 10 tangu aanze huduma ya uimbaji.
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili nchini Upendo Nkone, kesho anatarajiwa kuadhinisha miaka 10 tangu aanze huduma hiyo ya uimbaji sambamba na uzinduzi wa albamu yake ya tano iitwayo ‘Omba Yesu Anasikia’ yenye jumla ya nyimbo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Nkone alisema mbali ya tukio hilo la kesho kubeba uzinduzi wa albamu mpya na maadhimisho ya miaka yake 10 katika huduma hiyo, pia kwake ni kumshukuru Mungu kujamlia uzima na afaya.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog