Wednesday, September 2, 2015


Winga wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United David Beckham usiku wa Septemba 1 alipewa Tuzo ya Heshima. Licha ya kuwa amestaafu bado mchango na uwezo wake aliyo uonyesha katika soka bado unatambulika na kuheshimika.
Hizi ni picha za tukio lenyewe mtu wangu
2BE2BA0A00000578-3218853-image-a-51_1441140484174
2BE258EB00000578-0-image-a-3_1441137700174

2BE2BA0600000578-3218853-image-a-52_1441140491971
Tuzo hizo za 20 ambazo hujulikana kama Legend of Football Award alipewa na wanachama wa kamati ya Football Extravaganza na alipewa Tuzo hiyo katika ukumbi wa The Grosvenor House London usiku wa Septemba 1.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog