Friday, September 25, 2015

 


Kocha wa klabu ya Chelsea ambaye amekuwa akiingia katika headlines mara kadhaa kutokana na tabia yake ya kupenda kulumbana na kuwatoa mchezoni wapinzani wake kwa maneno yake ya kejeli. September 25 Mourinho amenukuliwa na vyombo vya habari akitoa kauli bila kutaja jina lakini waandishi wanajua alimlenga kocha wa Arsenal Arsene Wenger.
Kauli ya Mourinho inakuja ikiwa ni siku kadhaa zimepita toka klabu ya Chelsea iifunge klabu ya Arsenal kwa goli 2-0  Mourinho bado anaendeleza kauli zake ambazo ni kama ishara ya kumkejeli Wenger licha ya kuwa hakumtaja moja kwa moja ila kauli hii inatafsiriwa kumlenga Wenger. 2C80C82400000578-3249035-image-a-25_1443187316818
“Kila kocha wa Ligi Kuu Uingereza ana presha na Ligi, Steve McClaren, Pellegrini na  Brendan Rodgers wote wana presha na mechi za Ligi na tunalazimika kuyafikia malengo, kiukweli nawaonea huruma kwa sababu ni kazi ngumu. lakini kuna mmoja ambaye hayupo katika hiyo list lakini yeye anajisikia vizuri na wala hana presha”>>> Mourinho

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog