Tuesday, August 25, 2015

Klabu ya Juventus ya Italia bado inaongeza nguvu katika kikosi chake kwa kusajili wachezaji kadhaa ili kuweza kuendana na kasi ya michuano mbalimbali itakayoshiriki msimu huu. Juventus ambayo imeondokewa na nyota kadhaa kikosini mwake ikiwemo Carlos Tevez na Andre Pirlo imeongeza nguvu katika kikosi chake.
2BA4773D00000578-3209576-image-a-1_1440491596620
Juventus August 25 wamekamilisha usajili wa mkopo kwa muda wa msimu mmoja wa aliyekuwa winga wa klabu ya Chelsea Juan Cuadrado ambaye alijiunga na Chelsea mwaka 2015 akitokea katika klabu ya Fiorentina ya Italia.
Pichaz Juan Cuadrado alivyowasili Italia August 24 kabla ya August 25 kutangazwa kusajiliwa

2BA2EA5500000578-0-image-a-83_1440458491736

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog