Sunday, July 12, 2015

Matokeo halisi ya kura za wagombea kuto Mkutano Mkuu ni: Mh. John Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10%, Dk.Asha Migiro 3%
 NI NINI  MAONI YAKO KUFIKIA HAPOPE 
1.Je CCM imerudisha umaarufu uliokua unautakaa
2.Je kufikia hapa goli la mkono linatakiwa au game liko fear?
OBA DODOMA LEO JUMAMOSI JULY 11,2015 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii juu ya kilichofanyika kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, ambapo amesema kuwa sasa NEC inapiga kura kupata majina matatu yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika Usiku wa leo majira ya saa tatu, kwenye Ukumbi wa Dodoma Convetion Centre.Credit:@michuzi Jr UPDATES:Ndg. Nape Nnauye amtangaza rasmi Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM 2015, Mhe. Ali Mohamed Shein. Kikao cha HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni…1.Joohn Magufuli,Amina S. Ali,Asha-Rose Migiro. "Sigombei nafasi hii kupambana na mtu bali kupambana na matatizo ya watu". @JMakamba #UmojaNiUshindi #TanzaniaMpya KWA MTIRIRIKO HUU 'KURA YA 3' BORA NINI MTAZAMO WAKO Magufuli 290, Amina 284, AshaRose 280, January 124, Membe 120

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog