Saturday, May 9, 2015


Manchester United wakipanda train kuelekea Ugenini tayari kucheza mchezo wao ugenini na Crystal Palace
Jonny Evans, Marouane Fellaini, Phil Jones, Luke Shaw, Radamel Falcao na Andreas Pereira walipofana mazoezi kujiandaa na Mchezo wao wa leo dhidi ya Crystal Palace.
Jones nae alipasha hiyo jana ijumaa kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Aon complex

Radamel Falcao na Robin van Persie

Marcos Rojo na James Wilson

Juan Mata, Antonio Valencia na Rooney
Valencia kushoto, Rooney kwenye mazoeziEvans na Jones wakiwa pamoja na Smalling

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog