Saturday, May 9, 2015


Jermain Defoe dakika ya 85 kipindi cha pili aliwafungia bao Sunderland na kufanya 2-0 dhidi ya Everton. Ushindi huu umeipandisha Sunderland nafasi ya 14 wakiwa na pointi 36 huku Everton wakiwa nafasi ya 11 na pointi zao 44. Ukumbuke mpenzi wa bukobasports Sunderland wanamchezo wao mkononi hivyo mchezo wao wa leo ni 35, Everton wao wamecheza mchezo wao wa 36.
Danny Graham wa Sunderland  dakika ya 53 anaifungia bao Sunderland na kufanya 1-0 dhidi ya Everton kipindi cha pili.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog