Monday, April 13, 2015



Wanachama ACT wazalendo la wananchi wa jimbo la Morogoro mjini wakiwa katika mkutano wa ACT wazalendo leo

viongozi wa kitaifa wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuanza mkutano wa hadhara jimbo la Morogoro mjini leo

Wanachama wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa leo


Wananchi wakishiriki kuimba wimbo wa Taifa leo

Afande Selle akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro mjini kupitia ACT Wazalendo leo


Katibu mkuu wa ACT Wazalendo Bw Samson Mwigamba akieleza sera ya chama hicho leo

Mwenyekiti wa Taifa wa ACT wazalendo Anna Mngwira akiwahutubia wananchi wa jimbo la Morogoro mjini leo


Zitto Kabwe kushoto na afande Selle wakionyesha alama ya ACT wazalendo

viongozi wa ACT wazalendo wakijumuika kucheza wimbo mpya wa ACT wazalendo



kiongozi wa ACT wazalendo Zitto Kabwe akihutubia katika mkutano wa chama hicho jimbo la Morogoro mjini leo












0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog