Thursday, April 16, 2015


EUROPA LIGI, Mashindano makubwa ya pili kwa Klabu Barani Ulaya, Alhamisi yanaingia hatua za Robo Fainali kwa Mechi zake za kwanza kuchezwa.
Kama ilivyo kwa UEFA CHAMPIONS LIGI, England haina hata Timu moja kwenye hatua hii baada ya Everton na Tottenham kutupwa nje hatua iliyopita.

Mabingwa Watetezi, Sevilla ya Spain, bado wamo kwenye Mashindano haya na wanaanza Nyumbani katika Mechi na Klabu ya Urusi, Zenit St Petersburg.
Italy inazo Klabu 2, Fiorentina na Napoli.

EUROPA LIGI
Robo Fainali
Alhamisi Aprili 16

22:05 Club Brugge vs Dnipro Dnipropetrovsk
22:05 Dynamo Kiev vs Fiorentina
22:05 Sevilla vs Zenit St Petersburg
22:05 VfL Wolfsburg vs Napoli 


Marudiano
22:05 Dnipro Dnipropetrovsk vs Club Brugge
22:05 Fiorentina vs Dynamo Kiev
22:05 Napoli vs VfL Wolfsburg
22:05 Zenit St Petersburg vs Sevilla

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog