Monday, March 23, 2015



Hii ndio nyumba mpya ya mwanamuziki anae wakimbiza wenziwe barani Africa Diamond Platnumz ambayo mwenyewe ameipa jina la "STATE HOUSE" kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe hii ni moja ya kati ya nyumba kumi anazo zimiliki

Jikoni ndio hapo everything on point

Diamond Aliweka hii caption kwenye picha hii.
"In my 70Million Pure Gold plated toillet...pupping and Movies Lol!��..i can't wait to play dirty game with her"

The view of my Custom made designer Gypsum Ceiling from my Bed... ( maneno ya raisi wa wasafi hayo)

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog