Sunday, February 22, 2015


Azam FC itakuwa mgeni wa Ruvu Shootings katika uwanja wa Mabatini wakijaribu kuongeza tofauti ya pointi na Yanga ili kuendelea kushika usukani wa ‪#‎VPL‬. Itaweza kuondoka na ushindi dhidi ya timu iliyokamia kutofungwa nyumbani?

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog