Friday, February 20, 2015



Mwanamuziki Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard,amefariki leo mjini Dodoma, habari hizi zimethibitishwa na mama yake mzazi.
R.I.P Mez B

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog