Tuesday, September 9, 2014


WAKATI Neymar akifurahishwa na uongozi wa Kocha mpya wa Brazil Dunga huku wakijitayarisha kuivaa Ecuador Jumatano huko New Jersey, USA baada ya Ijumaa kuifunga Colombia, Fulbeki Maicon ametimuliwa kwenye Timu hiyo.
Ripoti toka ndani ya Kambi ya Brazil huko Marekani zimedai Maicon, ambae anaichezea AS Roma ya Italy, amefukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu huku Mitandao ikijaa kila aina ya sababu na nyingine kudai ni ngono.
Kwenye Mechi hii ijayo na Ecuador, mbali ya kumkosa Maicon pia Brazil itamkosa Sentahafu David Luiz ambae ana tatizo la Goti lakini Neymar, ambae ndie Nahodha wa Brazil na ambae ndie aliefunga Bao walipoibwaga Colombia 1-0 hapo Ijumaa, ana matumaini makubwa ya ushindi.
Neymar amewaambia Wanahabari kuwa Dunga ana nia na ari ya ushindi na mambo hayo yatamsaidia Kocha huyo alietwaa mikoba ya Brazil kutoka kwa Luiz Felipe Scolari Mwezi Julai.
Nae Dunga amesema ushindi dhidi ya Colombia ambao umekuja mara tu baada ya kubondwa 7-1 na Germany kwenye Fainali ya Kombe la Dunia Mwezi Julai umetoa jibu na kubadili hali ya Timu.
Nao Ecuador wanaingia kwenye Mechi hii na Brazl wakitoka kwenye ushindi wa Bao 4-0 walipoichapa Bolivia huko Fort Lauderdale hapo Jumamosi.

TETESI TATU ZINAZOMZUNGUKA MAICON MPAKA SASA.
1. The first rumour was that Maicon was caught having sexual intercourse with teammate Elias.
2. The second rumour claimed he jerked off into David Luiz’s bottle of shampoo.
3. The third rumour, which originated on satirical Brazilian website Ole do Brasil, claims Maicon spread pepper and milk on Elias’s arse and then told him in the morning that he had been raped by four men.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog