Wednesday, August 6, 2014



Mmoja wa washiriki wanaounda kikundi cha Street Dance cha Mbagala jijini Dar es salaam, akionyesha umahiri wake wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.


Kikundi cha Street Dance cha Mbagara jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Wachezaji wa kundi la Manuary kutoka Majohe Pugu jijini Dar es salaam, wakicheza wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Vijana wanaounda Kikundi cha G.O.P cha Keko jijini Dar es salaam, wakitoa burudani kali wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kundi la Butterfly kutoka Keko jijini Dar es salaam, wakitoa burudani kali wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililofanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe na kudhamiwa na Vodacom Tanzania.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka katika wilaya ya Temeke ambapo mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni tano.


Vijana wanaounda Kundi la Young Dance la Temeke Mikoroshoni jijini Dar es Salaam wakitoa burudani wakati war obo fainali ya shindano la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.


Kikundi cha Wazawa kutoka Mbagala jijini wakitoa burudani wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikuindi cha Swaga Don cha Temeke jijini Dar es Salaam wakifanya mambo yao wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

Kikuindi cha Butterfly cha Temeke jijini Dar es Salaam wakifanya vitu vyao wakati wa robo fainali ya shindano la Dance 100 liliodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog