Tuesday, July 29, 2014




Manchester City imetangaza vifaa vyao vipya vya msimu ujao ambavyo vijana wa Manuel Pellegrini watakuwa wakitupia wakati wakijaribu kutetea taji lao la Premier League.
Mbingwa hao wameutangaza uzi wa rangi ya buluu iliyo iva kutoka kampuni ya vifaa vya michezo ya Nike zikiwa zimesalia siku 16 kabla ya uzinduzi wa msimu mpya ambao utatanguliwa na mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Arsenal.


Pablo Zabaleta akiwa katika pozi la jezi mpya ya msimu ikiwa na vionjo vya rangi ya njano

Jezi mpya itaanza kuuzwa July 29 ambapo unaweza kuagiza kuanzia sasa.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog