Saturday, July 26, 2014

article-0-1FF9BF7800000578-984_634x412Changamoto ya Ugiriki: Claudio Ranieri anatarajia kuiongoza nchi hiyo katika fainali za mataifa ya Ulaya mwaka 2016 
KOCHA wa zamani wa Chelsea, Claudio Ranieri ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Ugiriki.
Ranieri katika miaka kumi iliyopita amevuna zaidi ya paundi milioni 10, akilipwa kama fidia ya kufukuzwa kazi, lakini Ugiriki umemteua kuwa kocha mkuu wa nchi hiyo.
Ranieri amesaini mkataba wa miaka miwili na anatarajiwa kulibadili soka la nchi hiyo.
Kocha huyo amefukuzwa mara tano (5) katika miaka 10 iliyopita na kuvuna fidia kubwa ya paundi milioni 10.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog