Wednesday, June 4, 2014


Wachungaji wakiongoza ibada ya kumuaga marehemu Mweisigwa Blandesi aliyekuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Oakland, California iliyofanyika siku ya Jumamosi May 31, 2014 Oakland, California..
 Balozi wa Heshima Bwn. Ahmed Issa akiongea machache jinsi gani alivyokuwa anamfahamu marehemu kwenye ibada ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Balnde  iliyofanyika siku ya Jumamosi May 31, 2014 Oakland, California..
 Mmoja ya watu mbalimbali waliohudhuria ibada ya kumuaga mpndwa wao Mwesigwa Blandesi akiongea machache kwenye ibada ya kumuaga marehemu  iliyofanyika siku ya Jumamosi May 31, 2014 Oakland, California..
 Watanzania wa California na marafiki zao wakijumuika pamoja kwenye ibada ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Balandesi iliyofanyika siku ya Jumamosi May 31, 2014 Oakland, California..
Mamia ya Watanzania waishio California, marafiki, Viongozi mbalimbali kutoka Jumuiya nyingine za Kitanzania na nchi za Kiafrika hapa Marekani pamoja na ujumbe kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wajitokeza kumuaga mpendwa wao na aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio "Bay area" na vitongoji vyake (TCO) marehemu Mwesigwa Blandesi.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog