Wednesday, June 4, 2014


Smithsonian’s National Museum of African Art picha katika  maadhimisho ya kutimiaza miaka 50 tangu kufungiliwa kwa Museum hiyo iliopo Mjini Washington, DC

National Museum of African Art siku ya Jumanne June 3, 2014 wamesherehekea maadhimisho ya kutimiaza miaka 50 tangu kufungiliwa kwa Smithsonian’s National Museum of African Art, Mjini Washington, DC
Sharehe hizo zilianza rasmi mida ya Saa Nne Asubuhi na kumalizika saa Kumi na Moja Jioni kukiwa na ngoma za kitamaduni zilizotumbuizwa na kundi zima la  Farafina Kan, pamoja na  Ethiopian Coffee Ceremony, Henna Paint pamoja na chakula cha  Nando's Peri-Pari
Msimamizi  wa NPR Show  ''Tell me more'' Michel Martin akiendesha mazungumzo dhidi ya wawakilishi. 

Aidha  wawakilishi wa National Museum of African Art, walizungumzia kuhusu historia ya kumbukumbu ya miaka 50 ya kuazishwa juu ya makumbusho hayo. Katika mazungumzo hayo mbayo yalikuwa chini ya  msimamizi  wa NPR Show  ''Tell me more'' Michel Mc , Queen Martin, Dr Johnnetta Betsch Cole (Directoct of National)  Lady  Putrecelli, Dr. Alan Brody (Warren Robbins-Founder of Museum's Nephew) Pesident of the Center for Cross Cultural Communications, Asif Shaik na Bryna Freyer Senior curator at African Art.
Wageni mbalimbali wakisikiliza historia ya  kutimiaza Miaka 50 ya Smithsonian’s National Museum of African Art Kikundi cha Farafina Kan kikitumbuiza goma za kitamaduni katika sherehe za maadhimisho ya kutimiaza miaka 50 yaSmithsonian’s National Museum of African Art

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog