Tuesday, May 6, 2014


Wachezaji wa Crystal Palace wakiwa kwenye uwanja wao wamekamua vilivyo na kuweza kuweka heshima kutoka kwenye kichapo cha bao 3-0 na kusawazisha kwa kufanya 3-3 na kuwapoteza uelekeo kileleni Liverpool. Ubingwa kwao sasa ni Miujiza!!! Huku wakiwa na mtanange mmoja tu wa jumapili ijayo na Newcastlw United.GayleMajogoo yachafuliwa mbio za Ubingwa na  Crystal Palace usiku huu kwa sare ya hatari. wakiwa mbele ya bao 3-0 na bao zote kurudi na kufanya sare ya 3-3.Can't even look: Reds talisman Suarez breaks down after his side shipped a 3-0 lead
Usiku huu Liverpool wamerejea kuongoza Ligi Kuu England wakiwa Pointi 1 mbele ya Manchester City kwa kucheza Mechi 1 zaidi licha ya kuumwaga uongozi wa Bao 3-0 na kuiruhusu Crystal Palace kurudisha Bao zote 3 ndani ya Dakika 8 za mwisho wa Gemu.

Captain Steven Gerrard....hoi!!!

Bao za Liverpool zilifungwa na Allen, Sturridge na Suarez na Palace kuchachamaa na kurejesha Bao hizo ndani ya Dakika 8 kuanzia Dakika ya 81 kwa Delaney kufunga Bao 1 na Dwight Gayle Bao 2.
Matokeo haya yamewabakisha Chelsea kwenye kinyang’anyiro cha Ubingwa pamoja na Liverpool na Man City lakini ni wazi City, wenye Mechi 2 mkononi, Ubingwa uko mikononi mwao wenyewe.

Suarez hoi!!! ni machozi!! Wakiwa wana bao tatu mkononi Liverpool usiku huu wamelazimishwa sare ya ajabu baada ya kukubali bao kurudi zote tatu na kufanya mabao kuwa 3-3. Liverpool sasa wanaingia kwenye Vita ya kimiujiza ili waweze kutwaa Ubingwa baada ya leo kuteleza vibaya. Ikiwa imebaki mechi yao moja tuu kumalizika kwa msimu wakiwa na mechi na Newcastle mtanange unaotarajiwa kuchezwa Jumapili 11. Sare hii pia inakuwa mbaya kwani pamoja na kuwa wapo juu kileleni wanatangulia kwa pointi moja tu juu ya Man City ambao wanauwezo wa kuwapita Jumatano kama wataweza kuifunga timu ya Aston Villa. Manchester City watakuwa Uwanjani kwao Etihad Jumatano Usiku kucheza kiporo chao na Aston Villa na wakitoka Sare au kushinda tu watatwaa tena uongozi na kuwa mbele ya Liverpool huku kila Timu ikiwa na Mechi 1 tu.3-2
Bao....1-0
Wachezaji wa Liverpool wakipongezana.Iconic: Suarez celebrates match Alan Shearer and Cristiano Ronaldo's record of 31 goals in a season3-0.....Suarez akibusu mkono wake baada ya kufunga baoLuis Suarez celebrates after scoring Liverpool's third at Palace.
Dakika ya 18 Liverpool wanapata bao la kwanza dhidi ya wenyeji Crystal Palace. Mfungaji akiwa ni Joe Allen dakika ya 18 baada ya Steven Gerrard kupiga kona na mabeki wa Crystal Palace kujichanganya na hatimaye Joe Allen kufunga bao kwa kichwa. Liverpool manager Brendan RodgersMpaka mapumziko Liverpool walikuwa wanaongoza kwa bao hilo 1-0 dhidi ya Crystal Palace. Kipindi cha pili dakika ya 53 Daniel Sturridge alifunga bao safi baada ya kupata pasi kutoka kwa Gerrard huku bao la tatu likifungwa na Luis Suarez katika dakika ya 55 baada ya kupewa pande na Raheem Sterling.Dwight Gayle celebrates after scoring his first goal against Liverpool.Dakika ya 79 Damien Delaney alifanya juhudi na kuweza kufunga bao la pili na kufanya 3-1 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mile Jedinak na dakika moja baadae Crystal palace wakafunga bao la 2 na kufanya 3-2 kupitia kwa Dwight Gayle. Dakika ya 88 Crystal Palace wakapata bao la tatu na kufanya 3-3 kupitia kwa Dwight Gayle tena Glenn Murray akishinikiza kupatikana kwa bao hilo hilo!!Suarez akitupia bao la tatu na kufanya 3-02-0Hakunaga!!! Kipa hakuona ndani!!!Chezea mimi!!!kamata hii!! Rafu siyo dili hapa!!GerrardKamata mwizi!!Pata potea!!1-0 katika dakika ya 18 kipindi cha kwanzaMtajiju!!Furaha kwa wachezaji wa Liverpool mapema baada ya kupata bao la kwanza na hapa walikuwa wanapongezan......Mpaka ndaniMameneja wote pande zote mbili....Rogers na kocha wa Crystal palaceMeneja wa Liverpool
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA TIMU ZA JUU:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Liverpool
37
25
6
6
99
49
50
81
2
Man City
36
25
5
6
96
37
59
80
3
Chelsea
37
24
7
6
69
26
43
79
4
Arsenal
37
23
7
7
66
41
25
76
VIKOSI:
CRYSTAL PALACE
Speroni, Mariappa, Dann, Delaney, Ward, Dikgacoi, Jedinak, Ledley, Bolasie, Puncheon, Chamakh
Subs: Hennessey, Gabbidon, Parr, O'Keefe, Ince, Gayle, Murray
LIVERPOOL
Mignolet, Johnson, Flanagan, Skrtel, Sakho, Gerrard, Allen, Lucas, Sterling, Sturridge, Suarez
Subs: Jones, Toure, Agger, Coutinho, Aspas, Moses, Cissokho

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog