Tuesday, May 6, 2014


Mchezaji Chipukizi wa miaka 18 James Anthony Wilson aliifungia bao United katika dakika ya 31 baada ya Manchester United kupata frii kiki ambayo ilipigwa na Marouane Fellaini na hatimaye Dogo huyo Wilson kuachia shuti kali ambalo limezama hadi langoni mwa timu ya Hull City.New hero: James Wilson celebrates breaking the deadlock for Manchester United against HullBao!!!!!!James Anthony Wilson alivyoipachikia bao United na kufanya 1-0 kipindi cha kwanza1-0 bao la Wilson.
Bao pekee la Hull City lilifungwa na Fryatt katika Shuti lao pekee Golini.
Huenda Hull City, ambao wako Fainali ya FA CUP na watacheza na Arsenal Uwanjani Wembley hapo Mei 17, wakamkosa Mchezaji wao mzuri Meyler kwenye Fainali hiyo baada ya Mchezaji huyo kunaswa akimkanyaga Januzaj bila Refa kuona ikiwa FA, Chama cha Soka England, kitalipitia tukio hilo.
Jones akijiuguza chini baada ya kuumizwa bega JonesMapema Phil Jones aliumia baada ya kugongana na Figueroa na kuumia bega wakati wa kona.
Mpaka mapunziko United ndio wameenda kupumzika wakiwa mbele ya bao 1-0. 
James Anthony Wilson anaifungia bao dakika ya 61 kipindi cha pili na kufanya 2-0 baada ya Januzaj kukimbia na mpira mbele na kumpa pasi ili afunge Fellaini na kuchemka na mpira huo kutemwa na kipa na James Anthony Wilson kufunga bao hilo likiwa la pili kwake. Dakika chache tena United wamefanya makosa ya ukabaji na mchezaji wa Hull Matt Fryatt kufunga bao katika dakika ya 63 baada ya kutengewa mpira na George Boyd. 

Daklika ya 70 Giggs anaingia na anachukua nafasi ya Thomas Lawrence. Dakika ya 86 Robin van Persie anaipachikia bao la tatu Man United baada ya kukosa kosa bao kadhaa sasa anapachika bao na kufanya 3-1 dhidi ya Hull Bowing out: Nemanja Vidic goes up for a trademark header in his final appearance at Old TraffordVidic akiendesha leo hiiWilson akifunga bao baada ya kupokea mpira kutoka kwa  Fellaini
Wilson akishangilia bao lake kwa aina yake kulia ni Nemanja Vidic akimkimbilia kumpongeza.

Wilson akipeta baada ya kuifungia bao Manchester United

Robin van Persie akiosha! Bao la 3

Robin van Persie akishangilia bao lake

Mchezaji na Meneja: Ryan Giggs wakati anachukua nafasi ya Tom Lawrence kipindi cha pili dakika ya 70

VIKOSI:
Man Utd:
De Gea, Valencia, Jones, Smalling, Buttner, Carrick, Fellaini, Januzaj, Lawrence, Kagawa, Wilson. 
Subs: Mata, Giggs, Vidic, Young, van Persie, Keane, Amos.
Hull City: Jakupovic, Bruce, Davies, Figueroa, Elmohamady, Quinn, Koren, Meyler, Rosenior, Long, Boyd.
Subs: Huddlestone, Fryatt, Livermore, Jelavic, Sagbo, Harper, Faye.
Referee: Craig Pawson
 Nemanja Vidic na Ryan Giggs wakipasha
 James Wilson  wa Man United akipasha kabla ya mechi
 Tom Lawrence

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog