Saturday, March 15, 2014

Nikica Jelavic of Hull City is brought down by Vincent Kompany of Manchester City during the Barclays Premier league match between Hull City and Manchester City at KC Stadium on March 15, 2014 in Hull, England.  Kompany was shown the red card for this chalenge.
Nikica Jelavic wa Hull City akivutwa jezi na kuangushwa chini na Vincent Kompany wa Manchester City kwenye mechi ya ligi ya Barclays Premier mtanange kati ya Hull City na Manchester City uliochezewa katika uwanja wa  KC Stadium siku ya Jumamosi March 15, 2014 mjini Hull, Uingereza na mchezaji. Kompany alionyeshwa kadi nyekundu dakika za mwanzo wa mchezo
Vincent Kompany of Manchester City reacts after being shown the red card after bringing down Nikica Jelavic of Hull City during the Barclays Premier league match between Hull City and Manchester City at KC Stadium on March 15, 2014 in Hull, England.
Vincent Kompany wa Manchester City akionyesha sura ya ya kutoamini kadi nyekundu aliyopewa baada ya kumuangusha Nikica Jelavic wa Hull City kwenye mechi ya ligi ya  Barclays Premier kati ya Hull City na Manchester City iliochezewa katika uwanja wa  KC Stadium siku ya Jumamosi March 15, 2014 mjini Hull, Uingereza
Nikica Jelavic of Hull City reacts as Referee Lee Mason shows the red card to Vincent Kompany of Manchester City during the Barclays Premier league match between Hull City and Manchester City at KC Stadium on March 15, 2014 in Hull, England.
Nikica Jelavic wa Hull City akilalama kwa Refa Lee Mason wakati akimuonyesha kadi nyekundu  Vincent Kompany wa Manchester City kwenye mechi ya ligi ya  Barclays Premier kati ya Hull City na Manchester City iliochezewa katika uwanja wa  KC Stadium siku ya Jumamosi March 15, 2014 mjini Hull, Uingereza Picha kwa hisani ya Zimbio

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog