Tuesday, February 11, 2014

 Mgomo wa wafanyabiashara kahama bado unaendelea kwani tangia asubuhi maduka hayajafunguliwa 
wao wafanyabiashara wanasema bado mgomo unaendelea ili waweze kufikisha ujumbe  kuhusu kukataa kutumia mashine za EFD (MAXMALIPO) ili zisiendelee kutumika nchi nzima ya tanzania


 maduka kama yanavyoonekana tangia asubuhi mpaka sasa hivi jioni



0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog