Sunday, February 9, 2014




Kipindi cha Pili, Man United walifanya mabadiliko kadhaa kwa kuwaingiza kina Valencia, Januzaj na Chicharito na hii ilileta uhai na waliweza kufunga Bao 2 katika Sekunde 90.


 
Michael Carrick akijiuliza kwa kile kilichotokea...
 
 
 

t Bao la Fulham limefungwa na Steve Sidwell katika dakika ya 19. Bao hilo limedumu mpaka dakika mwisho kwenye kipindi cha kwanza na timu ya Fulham ndio imekwenda mapumziko kwa bao 1-0 dhidi ya Wenyeji Man United kwenye uwanja wa Old Trafford.Kipindi cha pili dakika ya 78 Van Persie akasawazisha bao na kufanya 1-1,
 
 
 
Bao likifungwa na Michael Carrick katika dakika ya Dakika ya 80.

 
 
 
Last gasp: Manchester United were less than a minute from victory when Darren Bent headed home to snatch a point for Fulham
 
Flying: Bent celebrates his dramatic equaliser at Old Trafford Bent akishangilia bao lake la kusawazisha
 
 
kipa ana rahaaaaaaaaaaaaa

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog