Friday, February 21, 2014


Rais Yoweri Museveni wa Uganda atia saini mswada wa sheria dhidi ya picha za ngono.
Ikiwa unaishi Uganda na unapenda kuvaa nguo fupi, zinazokubana bana au zinazoonyesha sehemu za mwili ambazo zaweza kuwafanya watu wa jinsia nyingine kusisimkwa na kutamani kushiriki ngono nawe, basi jua uko taabuni.
Hii ni kwa sababu rais Yoweri Museveni ametia saini mswada dhidi ya picha za ngono ambao unapinga mavazi yasiyo ya heshima haswa yanayovaliwa na wanamziki na picha za watu wakiwa uchi. Mwandishi wetu wa Kampala Leylah Ndinda na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog