Monday, January 27, 2014



Wawrinka akishangilia Ushindi wake

Stanislas Wawrinka Raia wa Uswis amefanikiwa kutwaa Taji la michuano ya wazi ya Australia to kumchapa Mhispania Rafael Nadal katika Mchezo wa fainali.

Wawrinka alimfunga Nadal aliyekuwa akisumbuliwa Rangi Matatizo ya Mgongo to Seti Tatu to Moja, ikiwa nai to Matokeo ya 6-3 6-2 3-6 6-3.
Anakuwa Raia wa Pili wa Uswis kunyakuwa Taji la Grand Slam to upande wa Wanaume to Mchezo wa tenesi wa mchezaji Mmoja Mmoja.
Pia Ni MTU wa Pili kunyakuwa Taji kubwa KAMA Hilo akiwa ametoka nje ya vinara wanne wa Juu wa Dumia wa Mchezo wa tenesi, baada ya Juan Martin Del Potro kufanya hivyo kwenye michuano ya US Open Mwaka 2009.
Nadal ambaye Awali alisema kusumbuliwa Rangi Matatizo ya Mgongo lakini hakujitoa kwenye michuano hiyo ambayo imefikia tamati huko Melbourne Park.
"Sikupenda kusema kwamba sitocheza Mchezo wa fainali, nai Jambo ambalo nachukia Sana Hata KAMA niligundua kuwa nina maumivu ya majeraha" Alisema Nadala Mwenye umri wa miaka 27.
"Huu Sio wakati wa kuzungumzia maumivu niliyoyapata, ILA Ni wakati wa kumpongeza Stan. Amecheza Vizuri Sana Rangi Ukweli anastahili Taji Hili.
Ni MTU Mwema, MTU Mzuri Rangi Rafiki Yangu, nina Furaha Sana kwake kuwa bingwa "Alisema Nadal.
Naye Wawrinka alimsifu Nadal to kuwa bingwa wa Kweli Rangi Kinara wa Kweli wa tenesi duniani to Wanaume, alikiri hujisikia Furaha kupambana Rangi kumshinda bingwa KAMA Nadal.
Wawrinka hajawahi kushinda Hata Seti Moja katika Michezo yote 12 aliyokutana Rangi Nadal huko nyuma, Rangi alicheza fainal YAKE ya KWANZA akiwa kwenye Naf

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog