Tuesday, January 14, 2014

Cristiano Ronaldo, na mkewe  Irina Shayk.
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich.
Ronaldo ambaye alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka 2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka 2013 baada ya kupigiwa kura na makocha, manahodha na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa matokeo Ronaldo alipata kura 1365 akimshinda Messi aliyepata kura 1,205 na Ribery akiambulia kura 1,127.
Kwa upande wa wanawake golikipa wa Ujerumani Nadine Angerer alinyakuwa tuzo ya fifa ya mchezaji bora wa soka kwa upande wanawake huku aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes akinyakua tuzo ya kuwa kocha bora wa
dunia
 
.
PLAYER WINNING YEARS
Lionel Messi '09, '10, '11, '12
Johan Cruyff '71, '73, '74
Michel Platini '83, '84, '85
Marco van Basten '88, '89, '92
Alfredo Di Stefano '57, '59
Franz Beckenbauer '72, '76
Kevin Keegan '78, '79
K-H. Rummenigge '80, '81
L. Ronaldo '97, '02
Cristiano Ronaldo '08, '13
Cristiano Ronaldo akimwaga machozi mara tu baada ya kutajwa kuwa ndie mshindiCristiano Ronaldo
Pele nae machozi Mhhh.........Lionel Messi,na mkewe  AntonellaPele, Sepp Blatter PeleThe FIFA "dream team" with the best goal keeper, defenders, midfielders and forwards stands on the stage at the FIFA Ballon d'Or 2013 Gala in ZurichBrazilian super model Adriana Lima, right, and Jerome Valcke FIFA General Secretary, participate in the FIFA Ballon d'Or 2013 galaZlatan Ibrahimovic
Sweden's Zlatan Ibrahimovic displays the Puskas award for the best goal at the FIFA Ballon d'Or 2013 Gala in Zurich
Jupp Heynckes - best world coach


Pele
 Roy Hodgson

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog