Thursday, December 22, 2016


FIFA Leo hii imetoa Listi ya Ubora Duniani ambayo ni ya mwisho kwa Mwaka 2016 na Argentina wameendelea kushika Nambari 1 wakifuata Brazil.
Tanzania imepanda Nafasi 4 na sasa ipo ya 156 kutoka ile ya 160 ya Mwezi uliopita.
Mwezi Januari Mwaka huu Tanzania ilikuwa ya 126 na kupanda hadi 125 Mwezi Februari, kushuka 130 Aprili na kuyumba lakini Julai ikawa ya 123 na baada ya hapo mporomoko ukafuatia.

Kwa Bara la Afrika, Timu inayoshika Nafasi ya juu kabisa ni Senegal ambao ni wa 33 wakifuata Mabingwa wa Afrika Ivory Coast walio Nafasi ya 34 kisha Tunisia 35, Egypt 36 na Algeria 38.

10 BORA:
1. Argentina
2. Brazil
3. Germany
4. Chile
5. Belgium
6. Colombia
7. France
8. Portugal
9. Uruguay
10. Spain

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog