Sunday, January 10, 2016


Benzema alimalizia mpira uliomshinda Ronaldo na kufunga dakika ya 90 na mtanange kumalizika kwa bao 5-0 Real wakiibuka kidedea na kumwanzishia ushindi mnono meneja mpya Zinedine Zidane leo hii.
Kipindi cha pili dakika ya 49 Bale akapachika bao la tatu na kufanya matokeo kuwa 3-0 dhidi ya Deportivo L Coruna.

Benzema Dakika ya 15 na Bale dakika ya 22 tayari wameshaziona nyavu kipindi cha kwanza...hadi mapumziko 2-0.
VIKOSI:
REAL XI:
Navas, Carvajal, Ramos, Pepe, Marcelo, Modric, Kroos, Isco, Bale, Ronaldo, Benzema
DEPORTIVO XI: Lux, Navarro, Arribas, Sidnei, Fajr, Luis Alberto, Cartabia, Juanfran, Pedro Mosquera, Bergantinos, Lucas

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog