Sunday, January 10, 2016


Mbele ya Mashabiki 70,720, Barcelona iliinyuka Granada Bao 4-0 kwa Bao 3 za Lionel Messi na 1 la Neymar, na kuchukua uongozi wa La Liga.
DAKIKA ya 58 kipindi cha pili dakika ya 58 na bao la nne lilifungwa na Staa mwingine Neymar dakika ya 83 na mtanange kumalizika 4-0 dhidi ya Granada. Lionel Messi kafunga yote mawili katika kipindi cha kwanza, Akifunga bao la kwanza dakika ya 8 na bao la pili akilifunga dakika ya 14 na kufanya Timu yakke kuwa mbele ya bao 2-0. Ushindi huu, ambao ni Mechi ya kiporo, umewaweka Barca kileleni wakiwa Pointi 1 mbele ya Atletico Madrid na Pointi 5 mbele ya Real huku zote zikicheza Mechi 18.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog