Tuesday, October 13, 2015


Robin Van Persie akiifich uso!
Dakika ya 83 Robin van Persie Alifunga bao na kuifanikishia bao la pili na matokeo kuwa 3-2.Bao za Czech Republic zimefungwa na Pavel Kaderabek dakika ya 24 na  Josef Sural dakika ya 35 bao la tatu likiwa la kujifunga kupitia kwa Robin van Persie dakika ya 66, Bao la Netherlands limefungwa na Klaas-Jan Huntelaar dakika ya 70 na kufanya bao kuwa 3-1.
Van Persie akipagawa baada ya kukosa nafasi ya wazi
Netherlands 0 v 2 Czech Republic

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog