Friday, October 9, 2015


Theo Walcott aitanguliza England mbele.Theo akishangilia goli lake usiku huuTheo Walcott kaifungia England bao dakika ya 45 na kuongoza kwa bao 1-0 dhidi timu ya Estonia, Bao la pili limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 85 na mtanange kumalizika kwa bao Bao 2-0 England wakiibuka na Ushindi.Sir Bobby Charlton akipata picha ya pamoja na Wayne Rooney baada ya kupewa kiatu cha dhahabu kwa kuvunja rekodi ya mabao 49

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog