Thursday, September 3, 2015


D3A_1635
Huyu ni mwimbaji Mrembo kutoka Mauritius aliyefanya watu waenjoy zaidi kwa kutoa burudani kwenye stage
Ni utaratibu ulioanza mwaka 2014 kwa kampuni ya Multichoice kukutana na Waandishi wa habari/Watangazaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika kuonyesha na kuyazungumzia kwa upana vipindi na mengine mengi yanayopatikana kupitia bidhaa yake ya DStv.
Tamasha hili linafanyika kwa wiki nzima kwenye kisiwa cha Mauritius kuanzia September 1 -6 likiitwa MultiChoice Africa Content Showcase Extravaganza ambalo mwaka huu limehudhuriwa na Waandishi mbalimbali wakiwemo wa Tanzania pamoja na mastaa kutoka nchi mbalimbali wakiwemo Genevieve Nnaji, Ramsey Noah na Mr. Flavour wa Nigeria.
D3A_1656
MC alikua IK na Eku
D3A_1726
Moja ya vitu alivyozungumza C.E.O wa MultiChoice Tim Jackobs ni kwamba kampuni hiyo itaendelea kutoa huduma kwa ubora na kuendeleza malengo yake makubwa ya kuhakikisha kila mteja anapata zaidi ya matarajio yake kwenye TV.
D3A_2127
D3A_2150
D3A_2390
Ramsey na Genevieve kwenye meza moja wakienjoy show
D3A_2401
D3A_2418
Mwigizaji Desmond Elliot
D3A_2431
Ramsey
D3A_2447

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog