Thursday, September 24, 2015


Kipa De Gea  amesema anasikia fahari kubwa kufanywa Kepteni wa Manchester United Jana Usiku wakati walipoifunga Ipswich Town 3-0 Uwanjani Old Trafford katika Mechi ya Raundi ya 3 ya Capital One Cup.
David De Gea alirejeshwa Kikosi cha Kwanza cha Man United Mwezi huu baada ya kutupwa nje kutokana na sakata lake la kuhamia Real Madrid.
Jana, baada ya Kepteni Wayne Rooney kutoka Uwanjani alipobadilishwa na Memphis Depay katika Dakika ya 81, utepe wa Kepteni ulipelekwa kwa David De Gea.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog