Monday, July 20, 2015


nuhu
Bado kuna hali ya sintofahamu miongoni mwa uhusiano uliopo kati ya Shilole na Nuhu Mziwanda.
Shilole amesema kwa sasa wamegombana na hatarajii kuachia wimbo na mwenzake huyo ambaye walipanga kutoa wimbo..amesema mtu akizungua na yeye anamzingua..
Amesema Nuhu amekua na wivu sana wakati yeye anaangaika kutafuta pesa..ila amesema akijua alipokosea atamsamehe ila akizingua anatafuta mtu mwingine.
Nuhu Mziwanda amesema sio kwamba wanapromote wimbo na sasa hana muda na Shilole…wana siku kama tatu tangu wagombane.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog