Sunday, June 7, 2015


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia Mkutan wa hadhara leo kwenye Uwanja wa Mashujaa maarufu kwa jina la Uhmjini Bukoba, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na ilani ya Uchaguzi ya CCM.Shangwe! Wananchi wakiunga mkono jambo katika Mkutano huo




Mbunge wa Bukoba Mjini Mh. Khamis Sued Kagasheki aliingia kwa Pongezi kutoka kwa Wananchi waliokuwa wamejitokeza kwa Wingi katika Mkutano huo leo hii Jumamosi tarehe 6/6/2015 jioni.

Swahiba akichekelea kwa Furaha baada ya kuungwa mkono na Wananchi

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog