Wednesday, May 20, 2015



Ukiachilia ustaa wao na ufundi wao wanapokua uwanjani, kuna wachezaji ambao wamekua kivutio kikubwa kwa mashabiki wao kutokana na muonekano wao kwa ujumla.
Mara nyingi wamekuwa wakitumika katika matangazo mbalimbali ya biashara lakini kuna mtandao mmoja umeweza kutaja listi ya mastaa 10 wa soka duniani ambao wana muonekano mzuri.
casu
1. Cristiano Ronaldo amekuwa na mafanikio makubwa kupitia soka, muonekano wake wa kuvutia umemfanya aingize kiasi kikubwa cha fedha kupitia matngazo anayoingia nayo mikataba kila wakati
kaka
2. Kiungo Ricardo Kaka anatokea Brazil..kwa sasa anaichezea klabu ya Sao Paulo kwa mkopo akitokea Orlando City
villa
3. Moja ya vitu vinavyomwingezea mvuto David Villa ni staili yake ya nywele ambayo hubuni mara kwa mara..pamoja na kuwa mmoja wa wachezaji wenye umri mkubwa lakini bado amekuwa na muonekano mzuri
4. Iker Cassilas ni mmoja wa makipa wenye mafanikio makubwa sana kutokana na uwezo wake akiichezea Real Madrid, amekuwa ni mmoja wa wachezaji wenye muenekano mzuri
van
5. Robin Van Persie ni Mshambuliaji wa timu ya Manchester United
nando
6. Fernando Torres Ni mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya Taifa ya Hispania
gotz
7. Mario Gotze ni kiungo mwenye umri mdogo kutoka klabu ya Taifa ya Buyern Munich ya Ujerumani, amezaliwa mwaka 1992
mes
8. Ukiachia ufundi wake uwanjani akiwa na mafanikio mengi ndani ya klabu yake ya Barcelona, Lionel Messi ameingia kwenye orodha ya wachezaji wenye muonekeano mzuri
pque
9. Gerard Pique ni mlinzi wa timu ya Taifa ya Hispania na Barcelona, amezaliwa mwaka 1987 na ni mume wa mwanamuziki Shakira
faaa
10. Cesc Fabregas ni kiungo wa timu ya Taifa ya Hispania na klabu ya Chelsea, Ni baba wa mtoto mmoja wa kike na ana amezaliwa mwaka 1987

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog