Wednesday, May 6, 2015



PUNDE Azam FC uso kwa uso na Mabingwa Young Africans katika Uwanja wa Taifa mechi ambayo endapo Azam itashinda itajihakikishia nafasi ya pili. Young Africans baada ya mchezo huu watakabidhiwa kombe la Ubingwa #VPL2015.

MSIMAMO WAKE ULIVYO KWA SASA KABLA YA MTANANGE HUU

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog