Wednesday, May 6, 2015



BONDIA Fransic Cheka atapanda ulingoni kwa mara ya kwanza kabisaa baada ya kutoka jera ambapo atacheza na Kiatchai Singwancha kutokaThailand mpambano uho wa raundi kumi utafanyika katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba jijini Dar es salaam.
Akizungumzia matayarisho ya mpambano huo promota Kaike Siraju amesema kuwa amejipanga vizuri kwani kila kitu kinaenda vizuri kwa ivi sasa ambapo mabondia wa utangulizi wote wanatarajia kusainishwa wiki hii.
Pambano utasimamiwa na chama cha ngumi za kulipwa nchini P.ST chini ya rais wake Emanuel Mlundwa
wamesema kuwa wao wako tayari kwa mpambano huo na bondia wa Thailand ataingia nchini siku tatu kabla ya mpambano ambao utavuta hisia za wapenzi wengi wa mchezo wa ndondi nchini
Pia soku hiyo bondia Vicent Mbilinyi 'Sugu' atavaana na Keis Amal

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog