Thursday, April 23, 2015


Usiku huu EUROPA LIGI watakamilisha Mechi zao za Marudiano za Robo Fainali na Timu 4 Washindi zitaingizwa kwenye Droo ya kupanga Mechi za Nusu Fainali ambayo pia ni huru bila kujali Utaifa.
Mechi za Nusu Fainali za EUROPA LIGI zitachezwa Mei 7 na 14 ni Marudiano.

Kocha wa Napoli Rafael Benítez akiteta na Gökhan Inler

Mazoezini


Kocha wa Napoli Rafael Benítez
Kocha wa Napoli Rafael Benítez(kulia) akiongea na Waandishi wa habari ( Hawapo Pichani) juu ya Mtanange wao wa leo Usiku dhidi ya Wolfsburg.

EUROPA LIGI
ROBO FAINALI
Mechi zote kuanza Saa 22:05

Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza
Alhamisi Aprili 23
Dnipro vs Club Brugge (0-0)
Fiorentina vs Dynamo Kiev (1-1)
Napoli vs VfL Wolfsburg (4-1)
Zenit St Petersburg vs Sevilla (1-2)

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog