Sunday, March 15, 2015


The Barca star scored his 16th and 17th La Liga goals of 2015 as his side strolled to victoryLionel Messi akishangilia moja ya bao lake usiku huu ambapo Ushindi huu wa leo umepatika kupitia kwake kwa bao 2-0 dhidi ya Eibar. Ushindi huu pia unaipaisha Kileleni kwa kupata pointi 65 mbele ya pointi 61 za Real Madrid, Valencia CF ndio wanashika nafasi ya tatu wakiwa na pointi 57. Atlético de Madrid leo wamebanwa mbavu kwa kutoka sare ya 0-0 hivyo wanashika nafasi ya nne wakiwa na alama zao 56.Neymar (left) and Ivan Rakitic (right) join Messi in celebration of his 31st minute spot-kick Neymar na Ivan Rakitic wakimpongeza Lionel Messi aliyewapa Ushindi wa bao 2-0
Messi was at his very best at times and made a sensational 70-yard run during the first halfLionel Messi chini ya Ulinzi mkali wa wachezaji wawili wa Eibar usiku huuLionel Messi aliipatia bao Barcelona kwa mkwaju wa Penati katika dakika ya 31 kipindi cha kwanza.
Lionel Messi Tena dakika ya 55 kipindi cha pili aliwapa bao la pili Barcelona na kufanya bao kuwa 2-0 na Mtanange kumalizika kwa 2-0 dhidi ya Eibar.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog