Monday, February 9, 2015


Vijana wakifanya yao kwenye Uzinduzi jana jumapili tarehe 8 Feb, 2015. Ukiwa ni Uzinduzi maalum wa Shindano hilo la Nani Mkali Bukoba. Shindano linalokutanisha Makundi 10. Makundi matatu ya Kina Dada na makundi 7 ya Upande wa Vijana, Ikiwa ni Wasanii wa kucheza na Kuigiza.
Majaji.
Vijana wakiendelea kutoa burudani kwenye Uzinduzi wa Shindano la Nani Mkali Bukoba yaliyofnguliwa jana Jumapili kwenye Ufukwe wa Ziwa Victoria- Kiroyera Beach. Mashindano hayo yatachukua muda wa Wiki 9.
Watoto nao waliingia kwa wingi kuwaona wakubwa wao wakitoa burudani kwenye Uzinduzi huo
Moja ya Msanii kutoka kwenye Vikundi vinavyochuana hapa Bukoba kwenye Shindano la kumsaka mmoja mkali wao.


Majaji wakiendelea na Kazi yao na hapa wakiteta jambo mezani na Mwandaaji wa Shindano hilo Tesso Boy(kulia).



Ma Mc' wakiendelea na kazi kwenye Ufunguzi wa Mashindano hayo
Mashabiki waliingia kwa Wingi katika Eneo hilo Pendwa la Kiroyera Beach kwani Kiingilio kilikuwa Bure...
Mkurugenzi wa Kiroyera tours Bi Mary Kalikawe(kushoto) nae alikuwepo katika Maeneo yake kuona Vijana wanavyotoa Burudani katika Uzinduzi huo.
Burudani zikiendelea katika Fukwe hizo

Picha ya Pamoja ya Baadhi ya Wasanii waliojitokeza katika Uzinduzi huo

Msanii mkongwe Nchini, Inspector Haroun akisalimiana na Viongozi Meza kuu.
Msanii mkongwe Nchini, Inspector Haroun akisalimiana na Mgeni rasmi Mh. Diwani Anatory Amani

Msanii mkongwe nchini, Inspector Haroun
Taswira kamili.. Inspector Haroun Kutoka Jijini Dar es Salaam  akitoa Burudani mbele ya Mashabki wake katika uzinduzi huo wa Nani Mkali.


Mwandaaji wa Shindano hilo Teso Boy (kulia) akiteta na Msanii mkongwe Nchini, Inspector Haroun
Dj akiachia Muziki katika Burudani hizo za Ufunguzi wa Shindano la Nani Mkali Bukoba.

Taswira kamili ya Uzinduzi wa Mashindano hayo ya Nani mkali yaliyofanyika kwenye Ufukwe wa Ziwa Victoria Maarufu katika Eneo hilo Kiroyera Beach.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog