Saturday, November 15, 2014


Rais wa shirikisho la soka barani afrika Issa Hayatou
Taifa la Equitorial Guinea ndilo litakaloandaa michuano ya dimba la mataifa ya Afrika mwaka 2015.
Kulingana na shirikisho la soka barani Afrika, taifa hilo limetajwa baada ya Morrocco kukataa kuandaa michezo hiyo kutokana na hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
Morrocco ilikuwa imeiomba CAF kuahirisha dimba hilo la January 17 hadi Feruary 8.
CAF vilevile imeipiga marufuku Morrocco kushiriki katika dimba hilo ambalo sasa litaandaliwa na taifa lililoandaa kombe hilo na Gabon mwaka 2012.
Kombe la michuano ya bara Afrika
Equitorial Guinea sasa itachukua jukumu lote la kuandaa michuano hiyo yenye mataifa 16.
CAF imetangaza kuwa mechi hizo zitachezwa katika miji minne ikiwemo Malabo,Mongomo na Ebebiyin. Droo ya mechi hizo itafanyika mjini Malabo tarahe 3 mwezi Disemba.

Haijabainika iwapo mwenyeji huyo mpya atashiriki katika dimba hilo kwa kuwa timu hiyo ilipigwa marufuku mwezi Julai kwa kuchezesha mchezaji asiyetakikana katika mechi ya kufuzu kwa dimba hilo dhidi ya Mauritania mnamo mwezi May 17.

A file picture taken on October 29, 2011 shows Equatorial Guinea President Teodoro Obiang Nguema holding the trophy of the African Nations football Cup during the draw ceremony in Malabo. The African Cup of Nations (CAN 2015) will be held in Equatorial Guinea an announcement was made on November 14,2014.


AFCON 2015
MECHI ZA MAKUNDI

RATIBA/MATOKEO:
Ijumaa Novemba 14

Sierra Leone 1 vs Ivory Coast 5 
Botswana 0 vs Tunisia 0

Jumamosi Novemba 15
15:30 Malawi v Mali 
16:00 South Africa v Sudan 
16:00 Uganda v Ghana 
16:30 Togo v Guinea 
17:00 Cape Verde v Niger 
17:00 Cameroon v DR Congo 
17:00 Lesotho v Burkina Faso 
17:00 Mozambique v Zambia 
17:30 Congo v Nigeria 
18:00 Angola v Gabon 
20:00 Egypt v Senegal 
22:30 Algeria v Ethiopia  

Jumatano Novemba 19
16:00 Senegal v Botswana 
17:00 Ethiopia v Lesotho  
17:00 DR Congo v Sierra Leone  
17:00 Gabon v Lesotho  

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog