Thursday, September 18, 2014

Klaas Jan Huntelaar akifanya yake kusawazisha baoWachezaji wa Chelsea wakiwa hoi baada ya Schalke 04 kusawazisha bao kupitia kwa Klaas Jan Huntelaar katika kipindi cha pili dakika ya 62. Cesc Fàbregas akiachia shuti kali na kufunga1-0Dakika ya 11 Cesc Fàbregas anaipachikia bao la kwanza Chelsea dhidi ya Schalke 04. Bao hilo lilipatikana baada ya ushirikiano safi kutoka kwa Eden Hazard.Cesc Fàbregas akishangilia baoDrogba akiruka juu kwenye eneo hatari la box Eden Hazard akiendesha...Mzoefu ...Drogba nae jana alikuwemo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog