Thursday, September 18, 2014


Gerard Piqué akishangilia bao lake kipindi cha kwanza dakika ya 28. bao lililodumu mpaka dakika 90 kumalizika na Barcelona kujichukulia alama 3 muhimu wakiwa nyumbani kwao kwenye mchezo wa Uefa Champions League hatua ya makundi.Lionel Messi akifukuziwa na Bonge la msitu...Dakika ya 28 Gerard Piqué aliifungia bao la kichwa Barcelona na kuitanguliza 1-0 dhidi ya timu ya APOEL Nicosia.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog