Wednesday, September 3, 2014


Manchester United imetangaza kumsaini Mchezaji wa Kimataifa wa Netherlands Daley Blind kutoka Ajax kwa Dau la Pauni Milioni 14.
Proud: The 24-year-old cost £14million from Ajax and said 'it is a real honour to sign for Manchester United'Blind, ambae ndie Mchezaji Bora wa Mwaka wa Netherlands, anaungana tena na Meneja wa Man United Louis van Gaal ambae walikuwa pamoja huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia wakati Van Gaal ni Meneja wa Netherlands na kufika Nusu Fainali.
Staa huyo mwenye Miaka 24 amesaini Mkataba wa Miaka Minne wenye kipengele cha Nyongeza ya Mwaka mmoja ukimalizika.
Blind, ambae ni Mtoto wa Mchezaji wa zamani wa Ajax na Netherlands, Danny Blind, anaweza kucheza kama Beki na pia Kiungo.

Fit: Blind  his new United team-mate Van Persie took part in the session despite fears of the latter's injuryMara baada ya kukamilisha Usajili wake, Blind alisema ni heshima kubwa kuichezea Man United.
Nae Van Gaal alisema: “Nimefurahi kumsaini Daley. Ni Mchezaji mwenye akili na anaeweza kucheza Namba nyingi.”
Blind: 'I have been at Ajax since I was seven years old and I will always have very fond memories of the club'

MANCHESTER UNITED
NDANI:
Ander Herrera
(Athletic Bilbao) Ada haikutajwa
Luke Shaw (Southampton) Ada haikutajwa Vanja Milinkovic (Vojovdina) Ada haikutajwa Marcos Rojo (Sporting Lisbon) €20m Angel Di Maria (Real Madrid) £59.7m
Radamel Falcao (AS Monaco) Mkopo £6m NJE:
Federico Macheda
(Cardiff City) Bure
Jack Barmby (Leicester City) Bure Rio Ferdinand (QPR) Bure Ryan Giggs Ameachwa Nemanja Vidic (Inter Milan) Bure Alexander Buttner (Dynamo Moscow) Ada haikutajwa Patrice Evra (Juventus) Ada haikutajwa
Nani
(Sporting Lisbon) Mkopo
Wilfried Zaha (Crystal Palace) Mkopo
Danny Welbeck (Arsenal) £16m
Javier Hernandez (Real Madrid) Mkopo

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog