Saturday, August 23, 2014


Nightmare: Wolfsburg midfielder Junior Malanda produced a horror miss against Bayern Munich on Friday night
Maajabu:Kiungo wa Wolfsburg, Junior Malanda alikosa bao la wazi  dhidi ya  Bayern Munich jana usiku.

NYOTA wa Wolfsburg, Junior Malanda ameingia kwenye rekodi ya kukosa bao la wazi zaidi na kusababisha timu yake kufungwa.
Wakikabiliana na mabingwa watetezi, Bayern Munich katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga, kiungo huyo wa ulinzi mwenye miaka 19 alishindwa kumfunga Manuel Neuer baada ya kufanikiwa kumuacha na kubaki yeye na goli, lakini alichofanya ni ajabu.Tazama picha. 
Easy does it: Malanda was stood almost on the goal line and looked destined to equalised against Bayern
Rahisi tu!: Malanda alikuwa kwenye karibu na mstari wa goli na kutakiwa kusawazisha kiulaini, lakini alikosa. 
How did he miss? The Wolfsburg midfielder was first to the rebound but managed to shoot wide
Alikosaje? Kiungo wa Wolfsburg alikosa  bao akiwa yeye na kipa.
Horror miss: Malanda can't believe his miss with Wolfsburg trailing 2-1 to Bayern Munich in the season opener
Majanga:  Malanda haamini kilichotokea 
Head in hand moment: Malanda reacts after missing the target when virtually stood on the goal line
Mikono kichwani: Malanda akijilaumu baada ya kukosa goli la wazi.
Laying low: The Belgian lays on the floor in shock in a game in which Bayern Munich held on for the win

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog